jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Wapinzani wa Nchi hii kwa hakika ni janga!
Leo wamesahau ajenda zao na kutwa kuchwa wanacheza mdundiko wa CCM tu.Wamesahau kabisa Samia ni mwana CCM na yupo pale kwa sababu ya CCM.
Anyway,mimi ninalo swali moja kwa wapinzani je ni yupi baina ya JPM na Samia ni mpango wa Mungu?!
Leo wamesahau ajenda zao na kutwa kuchwa wanacheza mdundiko wa CCM tu.Wamesahau kabisa Samia ni mwana CCM na yupo pale kwa sababu ya CCM.
Anyway,mimi ninalo swali moja kwa wapinzani je ni yupi baina ya JPM na Samia ni mpango wa Mungu?!