moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,287
Bila shaka kichwa chajieleza,
Mmekuwa mnatumia lugha za kuudhi, matusi, vijembe na vioja kwa serikali na kiongozi mkuu wa nchi.
Kwa mwanasiasa mstaarabu angetoa hoja zenye mashiko badala ya kupiga kelele zisizo na maana.
Tangu juzi mnatuambia habari za wabunge wa CCM kupewa 10ml iliwawe upande wa serikali lakini hamleti uthibitisho.
Acheni kutujengea chiki dhidi ya serikali yetu leteni hoja zenye mashiko.
Mmekuwa mnatumia lugha za kuudhi, matusi, vijembe na vioja kwa serikali na kiongozi mkuu wa nchi.
Kwa mwanasiasa mstaarabu angetoa hoja zenye mashiko badala ya kupiga kelele zisizo na maana.
Tangu juzi mnatuambia habari za wabunge wa CCM kupewa 10ml iliwawe upande wa serikali lakini hamleti uthibitisho.
Acheni kutujengea chiki dhidi ya serikali yetu leteni hoja zenye mashiko.