Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 662
- 851
Kaulimbiu ya mwaka huu haikutakiwa kuwa, "Maendeleo ya watu, sio vitu."
Haikutakiwa kuwa hii kwa sababu hii ni kaulimbiu inayofikirisha na haikamati vizuri kwa kuwa ni ngumu kutenganisha maendeleo ya watu na ya vitu. Matokeo yake mnahangaika sana kuanza kufafanua maana ya kaulimbiu.
Sifa ya kaulimbiu haitakiwi kufikirisha. Inatakiwa imkamate mtu pazuri, na imkamate mara moja, bila ya maelezo mareeefu.
Au ile ya "Kazi na bata" imekaa kizushi sana. Hakuna mtu anayeichukulia serious.
Mfano 2015 kaulimbiu ya "Tunataka mabadiliko" ilikamata watu vizuri sana. Kulikuwa hakuna cha kufikiria. Kaulimbiu ilikuwa inafagia kila kitu, kwamba cha kwanza ni mabadiliko, mengine ndo yatafuata.
Sasa sitaki kusema hadharani kauli mbiu gani ni nzuri. Ninayo tayari na ukiisikia tu lazima utakubali kwamba hiyo ndo yenyewe. Kama kuna mpinzani anataka kujua anicheki inbox tuongee biashara.
Haikutakiwa kuwa hii kwa sababu hii ni kaulimbiu inayofikirisha na haikamati vizuri kwa kuwa ni ngumu kutenganisha maendeleo ya watu na ya vitu. Matokeo yake mnahangaika sana kuanza kufafanua maana ya kaulimbiu.
Sifa ya kaulimbiu haitakiwi kufikirisha. Inatakiwa imkamate mtu pazuri, na imkamate mara moja, bila ya maelezo mareeefu.
Au ile ya "Kazi na bata" imekaa kizushi sana. Hakuna mtu anayeichukulia serious.
Mfano 2015 kaulimbiu ya "Tunataka mabadiliko" ilikamata watu vizuri sana. Kulikuwa hakuna cha kufikiria. Kaulimbiu ilikuwa inafagia kila kitu, kwamba cha kwanza ni mabadiliko, mengine ndo yatafuata.
Sasa sitaki kusema hadharani kauli mbiu gani ni nzuri. Ninayo tayari na ukiisikia tu lazima utakubali kwamba hiyo ndo yenyewe. Kama kuna mpinzani anataka kujua anicheki inbox tuongee biashara.