washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Wakuu kuna jambo ambalo hata sielewi kama kweli viongozi wa vyama vya upinzani wako serious na wana nia ya kushinda kiti cha urais.
Ni muda muda mrefu wamekuwa wakilalamika kuhusu kukosekana kwa Tume Huru ya Uchaguzi, Mgombea binafsi, Matokeo ya Rais kuhojiwa Mahakamani na iliafikiwa hata kwenye kwenye kikao cha TCD na Mh Rais kuwa marekebisho ya Katiba yafanywe kabla ya uchaguzi ili ku accomodate hayo mambo.
Sasa nashangaa bunge linamaliza muda wake na wala sioni hata wapinzani waki preshalaizi kupatikana kwa marekebisho hayo muhimu ya Katiba.
Huu ni mchezo wa kuigiza au ni kitu gani? Kama wanaamini tume si huru wanategemea safari hii ufanyike muujiza iwe huru gafla?
Ni muda muda mrefu wamekuwa wakilalamika kuhusu kukosekana kwa Tume Huru ya Uchaguzi, Mgombea binafsi, Matokeo ya Rais kuhojiwa Mahakamani na iliafikiwa hata kwenye kwenye kikao cha TCD na Mh Rais kuwa marekebisho ya Katiba yafanywe kabla ya uchaguzi ili ku accomodate hayo mambo.
Sasa nashangaa bunge linamaliza muda wake na wala sioni hata wapinzani waki preshalaizi kupatikana kwa marekebisho hayo muhimu ya Katiba.
Huu ni mchezo wa kuigiza au ni kitu gani? Kama wanaamini tume si huru wanategemea safari hii ufanyike muujiza iwe huru gafla?