Wapinzani hakuna mikutano ya hadhara kushukuru wananchi?

Benson Mramba

JF-Expert Member
Oct 29, 2013
644
1,482
Sijasikia zuio la mikutano katika awamu hii ya pili ya Mzee Magufuli. Ila wapinzani wameendelea kufurahia zuio maana liliwapa unafuu wa maisha na wajibu.

Jinsi mataifa ya nje yanavyotutolea macho naamini mikutano awamu ni ruksa. Ila vyama vya upinzani havionyeshi upinzani wowote hata kwa makatazo wanayodai ni batili je nao ni sehemu ya mtawala?
 
Sijasikia zuio la mikutano katika awamu hii ya pili ya Mzee Magufuli. Ila wapinzani wameendelea kufurahia zuio maana liliwapa unafuu wa maisha na wajibu.

Jinsi mataifa ya nje yanavyotutolea macho naamini mikutano awamu ni ruksa. Ila vyama vya upinzani havionyeshi upinzani wowote hata kwa makatazo wanayodai ni batili je nao ni sehemu ya mtawala?
Ukishakuwa verified user lazima akli zako ziwe "mavi"..... you need not think critically
 
Sijasikia zuio la mikutano katika awamu hii ya pili ya Mzee Magufuli. Ila wapinzani wameendelea kufurahia zuio maana liliwapa unafuu wa maisha na wajibu.

Jinsi mataifa ya nje yanavyotutolea macho naamini mikutano awamu ni ruksa. Ila vyama vya upinzani havionyeshi upinzani wowote hata kwa makatazo wanayodai ni batili je nao ni sehemu ya mtawala?
Rubbish
 
Sijasikia zuio la mikutano katika awamu hii ya pili ya Mzee Magufuli. Ila wapinzani wameendelea kufurahia zuio maana liliwapa unafuu wa maisha na wajibu.

Jinsi mataifa ya nje yanavyotutolea macho naamini mikutano awamu ni ruksa. Ila vyama vya upinzani havionyeshi upinzani wowote hata kwa makatazo wanayodai ni batili je nao ni sehemu ya mtawala?
Jamaa upo ccm lakini kila thread unaanzisha kushauri au kuusema upinzani. Hebu anzisha basi thread moja ya kumshauri Magufuli na ccm yenu
 
Jamaa upo ccm lakini kila thread unaanzisha kushauri au kuusema upinzani. Hebu anzisha basi thread moja ya kumshauri Magufuli na ccm yenu
Huyo anajipendekeza kuliko maelezo,lakini kutokana na historia yake kuwa alikwapua hela kule Chadema na ukichanganya na kabila lake,kuteuliwa itakuwa sawa na ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano.
 
Sijasikia zuio la mikutano katika awamu hii ya pili ya Mzee Magufuli. Ila wapinzani wameendelea kufurahia zuio maana liliwapa unafuu wa maisha na wajibu.

Jinsi mataifa ya nje yanavyotutolea macho naamini mikutano awamu ni ruksa. Ila vyama vya upinzani havionyeshi upinzani wowote hata kwa makatazo wanayodai ni batili je nao ni sehemu ya mtawala?
Wewe hukuchanga karata zako vyema, unatamaa za kichagga
 
Jamaa upo ccm lakini kila thread unaanzisha kushauri au kuusema upinzani. Hebu anzisha basi thread moja ya kumshauri Magufuli na ccm yenu
alikuwa Chadema huyo mramba akaondoka akaingia CCM lISU alivyokuja akarudi tena CHADEMA ni bendera fuata upepo fulani huyu MLETA mada mramba ni mtu asiyekuwa na msimamo kabisa ni mtu asiyefaa upinzani wala CCM
 
alikuwa Chadema huyo mramba akaondoka akaingia CCM lISU alivyokuja akarudi tena CHADEMA ni bendera fuata upepo fulani huyu MLETA mada mramba ni mtu asiyekuwa na msimamo kabisa ni mtu asiyefaa upinzani wala CCM
Mi nikajua bado mnaye huko CCM. Atakuwa amechanganyikiwa siyo bure
 
Kwani Mkuu hawezi kulikana kabila lake na kusilimu ili awe mkoromije? 😂😂😂😂
Huyo anajipendekeza kuliko maelezo,lakini kutokana na historia yake kuwa alikwapua hela kule Chadema na ukichanganya na kabila lake,kuteuliwa itakuwa sawa na ngamia kupenya kwenye tundu ya sindano.
 
Acha kujitoa ufahamu..ikiwa kampeni zilikua halali na walishambuliwa na mapolisi unataka waitishe mkutano hivi sasa ili wavunjwe miguu.
 
Mkuu, unataka waje kutushukuru kwa kukataa kushogeshwa? Lazima watakuwa wanaona aibu!
.
FB_IMG_1603615079875.jpg
 
alikuwa Chadema huyo mramba akaondoka akaingia CCM lISU alivyokuja akarudi tena CHADEMA ni bendera fuata upepo fulani huyu MLETA mada mramba ni mtu asiyekuwa na msimamo kabisa ni mtu asiyefaa upinzani wala CCM

Naona umeamua kumchamba, hadi umeshindwa kuweka koma ama nukta, huku ukichanganya herufi kubwa na ndogo!
 
Kama kungekuwa na uchaguzi ungeliwaona viongozi walioshiriki na kushindwa au kushinda kutoa shukurani mara tu baada ya kumaliza kuapishana lakini zimepita miezi ,wanaopita kuwa wameshinda inakuwa kama wanafanya mikutano ya tawi,hakuna aliefanya mikutano ya hadhara na kuwashukuru wananchi kwa kumpa ushindi,kama kupo tuambie wapi ? Mkiambiwa hakukuwa na uchaguzi msibishane sana ,tusitiriane tu ndivyo tulivyo waTanzania ili kufichiana aibu.
 
Kama kungekuwa na uchaguzi ungeliwaona viongozi walioshiriki na kushindwa au kushinda kutoa shukurani mara tu baada ya kumaliza kuapishana lakini zimepita miezi ,wanaopita kuwa wameshinda inakuwa kama wanafanya mikutano ya tawi,hakuna aliefanya mikutano ya hadhara na kuwashukuru wananchi kwa kumpa ushindi,kama kupo tuambie wapi ? Mkiambiwa hakukuwa na uchaguzi msibishane sana ,tusitiriane tu ndivyo tulivyo waTanzania ili kufichiana aibu.
Mahakamani hamuendi pamoja na ushahidi mlionao.Duuuu kweli kuna wizi
 
Back
Top Bottom