Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ?
mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board
Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ?
mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board
Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ?
mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board
Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ?
mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board
Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka
Ni heri majirani wasikie makelele yenu kwa kuwa hakuna jambo baya litakalowatokea kuliko kumziba mwenza mdomo kunakoweza kumsababishia mauti. Wakati unataka kumziba kwa shuka we huwa wajisikiaje? unavyojisikia hakuna tofauti na anavyojisikia mwenzako
Ni utamu ni uchungu ni furaha au ninini ?
mbaya zaidi kama mnakaa nyumba ya kupanga halafu haina ceiling board
Huwa natamani kumziba mtu mdomo kwa shuka
Ni heri majirani wasikie makelele yenu kwa kuwa hakuna jambo baya litakalowatokea kuliko kumziba mwenza mdomo kunakoweza kumsababishia mauti. Wakati unataka kumziba kwa shuka we huwa wajisikiaje? unavyojisikia hakuna tofauti na anavyojisikia mwenzako
aisee, kwanza hata kumzuia asipige haya makelele ni kumuonea. aangalie anaweza akaishia kung'atwa au kupigwa vibao kama mbadala wa makelele maana mwenzake kachanganyikiwa na mautamu hawezi ku-control hiyo hali
Murder case nje nje...halafu wakitoka wanatudanganya shinikizo la damu kumbe wamewaua na mashuka....