Mtaani kwetu ukiitwa Mtaalam wa Dead Ball ina maanisha wewe wasichana wako ni wale wepesi kuwapata (malaya) sasa hiyo Dead ball labda ile mipira ya kuwekewa kumalizia uwanjaniDead ball ndio Mpira gani, eti mpira uliokufa umekufaje sasa, nielewesheni.
Juninho panambuchokanu,na Gaucho,Kwangu juhninho na devid beckham
yah chilavet wa paraguayatakua jose Luis chilavet alikua anapiga dead ball sana
Ndiye huyo nilomtaja hapo juu mkuu. Rogerio ceniKuna goalkeeper mmoja kutoka America ya kusini, sikumbuki jina exactly, Ila ndiye kipa aliye kuwa akiongoza kwa magoli , magoli yake mengi yalikuwz ni dead balls,
Umemsahau goli kipa Rogerio Ceni, ni mbrazili huyu alikuwa anachezea sao paulo na alikuwa hodari sana wa hii mipira iliyokufa. Kama sijakosea aliwahi kufunga magoli takribani 52 ya namna hii akiwa dimbani.
Wewe jamaa weweDead ball ndio Mpira gani, eti mpira uliokufa umekufaje sasa, nielewesheni.
Umeniwahi.robert carlos
Mapigo ya mipira ya faulo moja kwa moja golini, au kwa lugha nyingine set piecesDead ball ndio Mpira gani, eti mpira uliokufa umekufaje sasa, nielewesheni.
mafundi wa mpira hao...unaweza kusema amezaliwa naoSafi
Mimi hapo naongeza
David Beckham, jamaa alikuwa master wa dead balls nakumbuka hasa Goli alilo wafunga ugiriki 2001 nadhan jamaa alikuwa ana jua.
Andrea Pirlo- pia alikuwa kwa aina yake yulo poa
Ronaldonho Gaucho- nakumbuka mtume huyu na nabii wa mpira aliwafunga England kwenye kombe la dunia goli safi kabsa.