Wapigaji Wangu Hatari wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Wa muda wote

1.JUNINHO PERNAMBUCANO.
2. DAVID BECKHAM.
3. ROBERTO CARLOS.
4. CRISTIANO RONALDO.
5. RONALDINHO.
6. ANDREA PIRLO.
7. ZINEDINE ZIDANE.
8.LIONEL MESSI.
9. LEIGHTON BAINES.
10. HAKAN CALHANOGLU.
Umemsahau fulbak wa Leeds united yule mu Irish
 
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.

JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.

SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.

Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
Katika ulimwengu huu wa soka hasa katika mipira iliyokufa huwezi kumsahau jembe moja la Kiholanzi.....Petrus Ferdinandus Johannes "Pierre" van Hooijdonk huyu bwana alipita Celtic,Benfica,Fenerbahçe na kule nyumbani kwao Feyenoord.Kunadharia tukiacha ushabiki David Bekham alikua anasubiri sn kwa utaalam wa huyu jamaa.
 
Katika ulimwengu huu wa soka hasa katika mipira iliyokufa huwezi kumsahau jembe moja la Kiholanzi.....Petrus Ferdinandus Johannes "Pierre" van Hooijdonk huyu bwana alipita Celtic,Benfica,Fenerbahçe na kule nyumbani kwao Feyenoord.Kunadharia tukiacha ushabiki David Bekham alikua anasubiri sn kwa utaalam wa huyu jamaa.
Mkuu Beckam alikua mkali sana huyu bwana hakufikia uwezo wa Becks
 
Uyu jamaa ile miguu yake sijui ilikua na Nini kuna game yao akiwa barca wakicheza na Villaleal ya akina Sorin,Senna huyu naye alikua kiungo mtamu sana sema kaja zama za akina xaxi na iniesta akakosa kuwika na Muargentina Flani Riqqueleme Sijui kama nimeandika vizuri naye alikua mzuri kwa dead ball,Gaucho alifunga goli zuri sana

Juan roman requelme Alifananishwa na zinedine zizoo katika ubora wake. Hakuwa na bahati tu.
 
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.

JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.

SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.

Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461
Duh! Huu ukoo ni hatari kama ni hivyo. Mimi Nakamura nayemjua ni huyu

skysports-shinsuke-nakamura-wwe-nxt-title-steel-cage-australia_3853006.jpg


Shinsuke Nakamura

images
 
  1. DIEGO ARMANDO MARADONA
  2. LEONEL MESSI/MCHAWI
  3. JUAN ROMAN REQUELME
  4. DAVID BECKHAM
  5. CRISTIANO RONALDO
  6. JUNINHO
  7. FERNANDO CARLOS REDONDO
  8. ORIEL ORTEGA
  9. HERNAN CRESPO
  10. DIEGO FORLAN
  11. SAVIOLA
  12. JUAN PABLO SORIN
  13. JAVIER ZANETTI
  14. ROBIN VAN PERSIE
  15. ROBERTO CARLOS
  16. PABLO AIMAR
  17. ROBERTO AYALA
  18. CLAUDIO JAVIER LOPEZ
  19. GUSTAVO LOPEZ
  20. WALTER SAMUEL
  21. GABRIEL BATISTUTA

Argentina imejaaliwa vipaji. Katika dead balls naweza kusema Argentina wako juu tuacheni utani kulikuwa na majembe balaa.
 
Ongeeni yote ila kama hamjui basi mjue. Kwenye dead balls Mungu wa soka Diego Armando Maradona hakuwahi kuwa na mpinzani. Hao mnaowataja wooote ni kizazi cha juzi tuuu
 
Hawa ni Wachezaji Hatari sana waliyowahi kutokea Duniani kwa Upigaji wa Mipira Iliyokufa(dead ball) Haijalishi walikua wanapiga mipira kutokea Kona gani Ila kati ya Mipira 5 lazima minne Itie Kambani.

JUHIHNO PERNAMBUCANO...Huyu alikua kijana wa kibrazili akicheza pale ufaransa klabu ya Olympique Lyonnais alikua hatari sana kwa dead ball.

SHUNKUKE NAKAMURA...Huyu alikua kijana wa Kijapani akikipiga pale Celtic ya Uskochi Makipa walikua wanajua shughuli yake naye alikua hatari sana kwa dead ball.

Hao ndo Mafundi Wangu wataalamu wa kupiga dead ball kuwashuhudia katika soka wakifuatiwa na akina David Berckam,Ronalddihno na hawa akina Messi kwa kizazi cha sasa.View attachment 489460View attachment 489461

Allesandro del piero
 
  1. DIEGO ARMANDO MARADONA
  2. LEONEL MESSI/MCHAWI
  3. JUAN ROMAN REQUELME
  4. DAVID BECKHAM
  5. CRISTIANO RONALDO
  6. JUNINHO
  7. FERNANDO CARLOS REDONDO
  8. ORIEL ORTEGA
  9. HERNAN CRESPO
  10. DIEGO FORLAN
  11. SAVIOLA
  12. JUAN PABLO SORIN
  13. JAVIER ZANETTI
  14. ROBIN VAN PERSIE
  15. ROBERTO CARLOS
  16. PABLO AIMAR
  17. ROBERTO AYALA
  18. CLAUDIO JAVIER LOPEZ
  19. GUSTAVO LOPEZ
  20. WALTER SAMUEL
  21. GABRIEL BATISTUTA
namba 6 ndo anastahili kuwa wa kwanza kwa wachezaji niliopata bahati ya kuwashuhudia kwa mboni za macho yangu hao wengine wanamzidi majina tu ya mgongoni
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom