Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,112
- 1,249,111
Ina bunge laivu mkuu
Mafuta nigharamie mie,gari niendeshe mie na Malipo juu! Ina TV Ndani?
Mafuta nigharamie mie,gari niendeshe mie na Malipo juu! Ina TV Ndani?
Haa haa haaaMwanamke asie omba hela siku akikuomba utajuta malimbikizo yoote anajumlisha
Labda awe poyoyo......ahaaaasio kila ajifunzae anaelewa
Duh! Safari bado ndefu sana hii...w
e unashangaa huyo alochumbiwa??hapa nilipopanga wapo wamama wawili na wote nawala kimya kimya,,wote hawajui,,kisa tu nawapaga elfu kumi kumi,,,mmoja anakujaga geto usiku mnene,,namkuna vizuri ikifika saa kumi anarudi zake na kikanga chake kama katoka uani vile,,uzuri wa huyu ananipa kwa kujitolea ata kama sijampa ela mda mrefu,,na hua namwambia asionyeshe dalili zozote kama namla,,mwingine nammalizia huko lodge,,,basi ndo ivo yuaaan
Mbona unakuwa mbaguzi na wewe? Je kwa wavulana inakuwaje? kwa sababu wanaume hawana tabia hizo.Ukiona mwanamke anapenda wanaume wenye pesa hata kama ni mpenzi wako mchunguze Tu....huo ndio udhaifu wake mkubwa hana lolote kitandani,ila anakuwa mwepesi kwenye kupiga mizinga balaaa na ukimwambia sina lazima atafute mbadala. Wengi wao wanaishia kujipodoa kuficha madhaifu yao.
Aiseew
e unashangaa huyo alochumbiwa??hapa nilipopanga wapo wamama wawili na wote nawala kimya kimya,,wote hawajui,,kisa tu nawapaga elfu kumi kumi,,,mmoja anakujaga geto usiku mnene,,namkuna vizuri ikifika saa kumi anarudi zake na kikanga chake kama katoka uani vile,,uzuri wa huyu ananipa kwa kujitolea ata kama sijampa ela mda mrefu,,na hua namwambia asionyeshe dalili zozote kama namla,,mwingine nammalizia huko lodge,,,basi ndo ivo yuaaan
Mwanamke asie omba hela siku akikuomba utajuta malimbikizo yoote anajumlisha




Mara nipangie nyumba upande mmojaBaadhi ya wanawake hawajitambui kabisa,mie nadhani usipo mumba huyo mwanamme hela huenda alikufikiria akupe nyingi
kuliko unayo taja,au niuliza wenzangu wanaoomba kijinga jinga mfano anataka hela ya saloon,hela ya nywele,mara vocha,mara hela ya kula ivi kweli hapo ndio mwisho wa mahitaji yako? kwanini usimpe nafasi huyo mwanamme akafikiria akupe nini cha maana?
Mara nipangie nyumba upande mmoja wakati huo ww ni mchimba mitaro hahahaaaaBaadhi ya wanawake hawajitambui kabisa,mie nadhani usipo mumba huyo mwanamme hela huenda alikufikiria akupe nyingi
kuliko unayo taja,au niuliza wenzangu wanaoomba kijinga jinga mfano anataka hela ya saloon,hela ya nywele,mara vocha,mara hela ya kula ivi kweli hapo ndio mwisho wa mahitaji yako? kwanini usimpe nafasi huyo mwanamme akafikiria akupe nini cha maana?
Kuning'inia vip hebu neleweshe tafadhalina ndo maana mwisho wa siku wanaishia kutumika tu unakuta dada hata 30 hajafika ila papuchi ishaanza "kuning'inia"
Hahahaha!!na ndo maana mwisho wa siku wanaishia kutumika tu unakuta dada hata 30 hajafika ila papuchi ishaanza "kuning'inia"
Kama kuna kaukweli hivi, ngoja tuwasubili wapiga mizinga na povu likitoka tu ujue tayariUkiona mwanamke anapenda wanaume wenye pesa hata kama ni mpenzi wako mchunguze Tu....huo ndio udhaifu wake mkubwa hana lolote kitandani,ila anakuwa mwepesi kwenye kupiga mizinga balaaa na ukimwambia sina lazima atafute mbadala. Wengi wao wanaishia kujipodoa kuficha madhaifu yao.
hahaha umeona eeh...lakini kama kweli anajituma na unaridhika mbona hata hela yako ya miezi 6 unachukua ukamlipie,lakini service mbovu demand nyingi si useme tuu naiuza utaje bei yako mpatane...Mara nipangie nyumba upande mmoja wakati huo ww ni mchimba mitaro hahahaaaa
Hahahaha!!Mwanamke asie omba hela siku akikuomba utajuta malimbikizo yoote anajumlisha
huo huo mkuuAhaaaaaa ...kwahiyo papuchi inakuwa ishaanza kuwa Lapu Lapu ka utumbo wa vingunguti .