Mimi nimeonana nae mda si mrefu mtaa wa Facebook.
Alikuwa na furaha nyingi sana zisizo na kifani.
Anapaza sauti za Liverpool liverpool liverpool liverpool mpaka kelele zake zikatuboa baadhi ya wana mtaa.
Hivi wadau mnapotezaje muda hapa eti kumjadili Zitto!!!who's Zitto by the way....CHADEMA is an institution....members may come...members may go but CHADEMA will still there...acheni upuuzi
Tunadai katiba ya watanganyika na siyo ya wabembe wa kikongomani.
Anakula ujana na mtoto wa dhaifu la magogoni siunajua tena jamaa ana hisa za kibiashara na magari ya saratyoga na andriveture,
hivyo anpiga dili za kifisadi siku hizi umugope!