Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
wana jamvi napenda kujua wapi ndugu zitto kabwe mbona haonekani katika mjadala wa katiba bungeni?naomba mwenye data zake atuwekee humu
jamaaa wapuuzi kweli nyinyi, mlivyokuwa mna mbagua mlidhani nn? Kaeni na ubaguz wenu na ukabila wenu na ugomvi na maneno ya karaha...
Zitto ana akili nyingi kuliko uongozi wa chadema taifa
zzk watanzania wamekumiss.
Zitto yuko kimya anatafakari ubaguzi ndani ya chadema
Tunadai katiba ya watanganyika na siyo ya wabembe wa kikongomani.
Anakula ujana na mtoto wa dhaifu la magogoni siunajua tena jamaa ana hisa za kibiashara na magari ya saratyoga na andriveture,
hivyo anpiga dili za kifisadi siku hizi umugope!
Anamajukumu ya chama chake kikaa sawa atarudi bungeni.wana jamvi napenda kujua wapi ndugu zitto kabwe mbona haonekani katika mjadala wa katiba bungeni?naomba mwenye data zake atuwekee humu
We sijui unatoka wapi haya mambo kama huyajui kaa kimya tanzania hakuna chama kinaitwa ACD kama hujui kaa kimya unatia aibu.Yani badala atafakari mustakabali wa chama lake mfu ACD anatafakari kuhusu chama dume Chadema...
Hana nafasi tena Chadema huyo mnafki..