Tukwazane Taratibu
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 195
- 537
Wakuu habari zenu?
Kuna kampuni ya Kireno iitwayo Mota Engil imepewa tenda na serikali ya Tanzania kujenga reli ya SGR kutokea Dar hadi Moro na nimeona imetangaza nafasi za kazi kupitia gazeti la The Guardian lakini E-mail waliyoitoa kwenye gazeti lile na hata kwenye blogs na websites mbalimbali haifanyi kazi, kwa maana ya kwamba ukituma CV zako humo zinafeli kwenda na unarudishiwa majibu ya kwamba email haipo.
So please kwa anaejua zilipo ofisi za hawa jamaa anielekeze tu mimi nipeleke kwa mkono. Nimetumia kila mbinu kuzitafuta mtandaoni sijafanikiwa.
Asanteni
Kuna kampuni ya Kireno iitwayo Mota Engil imepewa tenda na serikali ya Tanzania kujenga reli ya SGR kutokea Dar hadi Moro na nimeona imetangaza nafasi za kazi kupitia gazeti la The Guardian lakini E-mail waliyoitoa kwenye gazeti lile na hata kwenye blogs na websites mbalimbali haifanyi kazi, kwa maana ya kwamba ukituma CV zako humo zinafeli kwenda na unarudishiwa majibu ya kwamba email haipo.
So please kwa anaejua zilipo ofisi za hawa jamaa anielekeze tu mimi nipeleke kwa mkono. Nimetumia kila mbinu kuzitafuta mtandaoni sijafanikiwa.
Asanteni