Hayo unayo yataka ww yanapatikana kwa oda tena vizuri wakati yanatengenezwa uwepo, coz hata nazi zinazo tumika ni nazi fresh.
Ndio maana nikauliza unahitaji kiasi gani sababu yanagharama kidogo ukizingatia hiko ni chakula usafi unaitajika..... Kinyume chake angalia usije ukauziwa mafuta yaliyo tengenezwa na nazi mbovu zilizo okotwa kwenye shimo la kariakoooo.......!!!