Wapi wenye akili zaidi?

 
 
She/He did not mention about your Mother. Why are you bringing her/his mother into this debate?

Well, he said I am retarded.....and said he/she will help me. I'm not retarded and I took offense and that's why I said he/she should treat his/ her mama. Do you think I'm retarded?
 
 
She/He did not mention about your Mother. Why are you bringing her/his mother into this debate?
Mkuu watu wa namna hii najua jinsia ya kuwapeleka....kashasema kuwa watu wa sehemu fulani hawana akili...ni tusi tosha hilo....najua matatizo yake na nimemwambia....naanza matibabu yake

Hicho kitakuwa chumba chako mpaka utakapo recover na kujua mtu wa ulaya,Nachingwea,kiansi,Adelaide,Seattle,Southampton wote wana akili sawa......
 
 
bwahahahahahahahahaaaaaa.....i just can't stop laughing......bwahahahahaaaaaaaaaaaaa
 
YUko kwenye matibabu atapona tu......Mods ni wanadamu wema sana hawawezi kumfungia wanajua tatizo lake mentally....vitengo vya wagonjwa wa akili wanashauri wasiwe an hasira......
 
Ndjabu Tha Dude

BANNED, More victims to be added soon! Beware...
 
Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Ingawa mimi nawaona wenye akili zaidi ni walio "Bongo" ambako hakuna kilichoandaliwa kwa ajili yao, serikali yao haijui kama wapo lakini wameendelea kuwepo na wameifanya Tanzania iendelee kuwepo!

Una maana walioko huko bongo wanaoichaguwa ccm wana akili?
Ama ni wanaofunguwa matawi ulaya?
Watu wanadiriki kuiita bongo...Hivi kuna anayewadanganya kuwa Marekani maisha ni rahisi?
Ama europe...Kama hutaki kuushirikisha ubongo wako..Basi bongo panakufaa kwa sana tu....Huko hata kodi wengi wao hawalipi...Na majukumu hakuna zaidi ya kujidai mission town...No wonder kuna EPA,RICHMOND nk Na huku pilao bado likiwa big dili kwa sana tu!
Sasa walioko nje ya nchi....Walianza India...
Then wa UROPA....Ukichaa na utahahira upo...Kuna aliedai ni malaria ya kichwani!
Bongo watu wanakuwa pia kama wamedata...Hata maeneo mengine hawaogopi hata kufa ama kugongwa na gari...Ila wako happy tu na life lao...Hakuna mwenye kumjali mwingine tena...So utajazia hapo...
Sasa kuna tofauti kati ya mjinga wa mwanzo na wa mwisho?
Wabongo wa Europe michosho...Nimeshaishi huko...Uswahili na upuuzi....Na hapa USA kuna maeneo kama hayo.
 
Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Ingawa mimi nawaona wenye akili zaidi ni walio "Bongo" ambako hakuna kilichoandaliwa kwa ajili yao, serikali yao haijui kama wapo lakini wameendelea kuwepo na wameifanya Tanzania iendelee kuwepo!

You were speaking my mind pal.
 
Nakubaliana na posting # 56, kuwa kutoa maoni meeeengi sio tija bali ni yepi ya maendeleo umeyafanya.

Mwelekeo wa mada kama hizi ni wazi kudhihirisha kuwa JF imevamiwa na inapelekwa kusiko.

Wasaalam
 
J MUSHI,you got it all wrong 'wabongo wa europe wote michosho'mimi nimeishi anchorage,alaska for six years,today i find myself in europe,it all depends where in your life,pastures turn greener.kutokana na posting nyingi humu i gather wewe ni mwanafunzi,not for once,did it register in my medulla O,kwamba you could come out with such unsubstantive sweeping statements.i enjoy reading your postings,na guts zako za kutotetereka,but frankly speaking this time with a sorrowfull heart,i am afraid to say you have let me down,BIG TIME
 
Siamini kabisa kuwa mada hii imefikia kurasa 6!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…