Wapi wenye akili zaidi?

Mwenye Akili ni ambaye ana yafuatayo:
....... Hekima;
....... Ufahamu;
....... Shauri;
....... Uweza;
....... Maarifa na
....... Kumcha Mungu.
 
ka niaba ya wote naomba tumsamehe na tuendelee kupata burudani ya maneno ya kashfa.

Kila mtu anajua akili zake zinavyomsaidia mwenyewe, manake kwanza kutambua tu kwamba akili ni muhimu, kunahitaji akili nyingi sana.
Kwahiyo hongereni sana wote.
Ni matumaini yangu kuwa kadiri mtakavyoendelea kuongeza akili zenu, mtatambua kazi ya akili ni nini, na mtaamua kuzitumia ipasavyo.
 
Akili ni nywele, kila mtu ana zake. Ingawa mimi nawaona wenye akili zaidi ni walio "Bongo" ambako hakuna kilichoandaliwa kwa ajili yao, serikali yao haijui kama wapo lakini wameendelea kuwepo na wameifanya Tanzania iendelee kuwepo!
 
Submit your analytical framework together with your detailed CV so that we know whom we are about to create dialogue with. Uttering such statements without supporting facts raises ?????
 
mi naona nyie manyani na mandjabu ndo mna akili kushinda wot humu au
 
Kati ya wabongo waishio Marekani na wale waishio UK na nchi zingine za Ulaya, wapi wenye akili zaidi? Mimi nasema wale waishio Marekani....wewe unasemaje?

unapotumia jani hilo jitahidi uwe umekula
 
kabisaaaaaa....au kaachwa na XXXl lake au madeni yamemzidi....jamaa yuko very lowa sana kwenye post zake.......lakini tutaenda nae taratibu JF ni kama kokoro hata hawa hawakosekani....
 
sijaelewa maana ya mwenye akili zaidi na aliyekuwa nazo kidogo ila nijuavyo mimi ni kuwa wote ni pu**u tu maana kama wangekuwa na akili wasingekubali kwenda kubebeshwa mabox na wazungu na wengine kuolewa na bibi vizee kwa tamaa ya maisha rahisi,mbona tangu waende huko hakuna aliyerudi na technology yoyote hata ya kutengeneza pamba za kuchokoa masikioni.sana sana wakirudi huwa wanarudi na mitindo ya mavazi na huku wengine wamebadilisha hata miondoko ,shame on them
 
 
kabisaaaaaa....au kaachwa na XXXl lake au madeni yamemzidi....jamaa yuko very lowa sana kwenye post zake.......lakini tutaenda nae taratibu JF ni kama kokoro hata hawa hawakosekani....

Wewe dizaini ni mbongo wa yuropu wewe......huna akili
 
Wenye akili ni wale wote wanaokumbuka kwao.Wanaotoa michango ingawaje ya mawazo ili kuikomboa nchi yetu.

Wale wote wanaorudi nyumbani angalao mara moja kwa miaka mitatu.

Kwa vigezo hivyo wale wa ulaya wana akili zaidi
 
Spika alipoambiwa alimkosea adabu alipoikuwa anamshukuru rais aliwajibu kuwa
hiyo hoj ni UPUUZI MTUPU

mtu kafanya utafiti wa KIPUUZI badala ya kutoa matokeo yake anwauliza watu as if bado anaendelea na utafiti.

hao unaowasema unajumuisha watu wote au wa JF yako?

SNadhani wanaokaa BONGO ndio wana akili zaidi, na sisi tunaokaa Australia hatujasema bado
 

Spika alipoambiwa alimkosea adabu alipoikuwa anamshukuru rais aliwajibu kuwa
hiyo hoj ni UPUUZI MTUPU

mtu kafanya utafiti wa KIPUUZI badala ya kutoa matokeo yake anwauliza watu as if bado anaendelea na utafiti.

hao unaowasema unajumuisha watu wote au wa JF yako?

SNadhani wanaokaa BONGO ndio wana akili zaidi, na sisi tunaokaa Australia hatujasema bado
 

Spika alipoambiwa alimkosea adabu alipoikuwa anamshukuru rais aliwajibu kuwa
hiyo hoj ni UPUUZI MTUPU

mtu kafanya utafiti wa KIPUUZI badala ya kutoa matokeo yake anwauliza watu as if bado anaendelea na utafiti.

hao unaowasema unajumuisha watu wote au wa JF yako?

SNadhani wanaokaa BONGO ndio wana akili zaidi, na sisi tunaokaa Australia hatujasema bado
 

Nyinyi wa Australia ni zero kabisa........
 
Wewe dizaini ni mbongo wa yuropu wewe......huna akili
Kijana una matatizo mengi ya kisaikolojia......
1:umeachwa na XXXL lako.
2:Madeni.......
Tutakusaidia tu.....

Kwanza nikuulize kuwa na akili maana yake ni nini?
 


Zamani ilikua rahisi sana kumtofautisha Nyani na Njabu.... siku hzi nyote mnafanana !!! kuna mmoja wenu karudi chini kiasi kwamba anafanana na yule mwingine aliyekua chini tangu zamani..... Naona mrudishe ile thread yenu mlokua mkitupiana maneno hapa si mahali pake
 
Kijana una matatizo mengi ya kisaikolojia......
1:umeachwa na XXXL lako.
2:Madeni.......
Tutakusaidia tu.....

Kwanza nikuulize kuwa na akili maana yake ni nini?

Ulinipima na kunifanyia uchunguzi ukagundua kuwa nina matatizo?

Eti nimeachwa na XXXL langu....wewe dizaini unaishi maeneo ya midwest....I can tell from your choice of words....

Madeni...wrong....I'm swimming in guap......stacks on deck baby.........

Next.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…