Spokesperson
Member
- Sep 21, 2015
- 19
- 7
Habarini!
Jamani mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza. Ninapenda kufanya kazi ya kujitolea katika mashirika ya kimataifa ya misaada. sasa kila nikiingiz kwa tovuti zao naona wanataka WAZUNGU tu, nao pia hulipa ada fulani.
Nisaidieni; wapi hapahapa Tanzania nitapata shirika linalohitaji Watanzania na BURE?
Jamani mimi ni muhitimu wa shahada ya kwanza. Ninapenda kufanya kazi ya kujitolea katika mashirika ya kimataifa ya misaada. sasa kila nikiingiz kwa tovuti zao naona wanataka WAZUNGU tu, nao pia hulipa ada fulani.
Nisaidieni; wapi hapahapa Tanzania nitapata shirika linalohitaji Watanzania na BURE?