Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,807
- 60,176
Kweli kabisa wengine inakuwa ngumu kuishinda nafsiTatizo ndio kila mtu ana namna yake ya kupambana na tatizo fulani,wengine ndio kama hivyo wanafikiria kujinyonga
Mungu awatie moyo wenye akili ya kutaka kujidhuru kwa namna yoyote,shetani.ashindwe