Wapi wanatoa Mafunzo ya kutengeneza simu ?

Wapi wanatoa Mafunzo ya kutengeneza simu ?

EL ELYON

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2013
Posts
1,675
Reaction score
2,116
Wakuu nataka nijulishwe ni wapi naweza pata mafunzo ya kutengeneza simu hardware na software, au kama kuna chuo niende kusoma au kama kuna mtu anaweza nifundsha kwa malipo but sharti awe na ofisi na vitendea kazi vyote, tutalipana kwa mwezi but zaid nataka chuo.

Call me 0755914977
 
We nenda kariakoo,jipendekeze kwa fundi yeyote nakuhakikishia mwezi humalizi.

Sent from my radio
 
Back
Top Bottom