empress
Member
- Sep 14, 2013
- 39
- 19
Wapendwa naomba kuuliza jambo... mzazi wangu amepewa zawadi ya seti mpya ya masofa na fenicha nyingine kama zawadi ya kustaafu...hana pa kuiweka seti ya zamani....kuna mtu humu anaweza fahamu mahali wanaponunua makochi ya zamani..maana mbao zake ni nzima na imara ila kitambaa kimechakaa kiasi...
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-C5000 using JamiiForums mobile app