Ndugu Kuna mtu ananisumbua. Je wapi hapa bongo naweza pata vyumba vya kupanga kwa 20elfu. Maji umeme. Mbali Na mji poa mradi daladala inafika. Hii Ni mipango ya January
Ndugu Kuna mtu ananisumbua. Je wapi hapa bongo naweza pata vyumba vya kupanga kwa 20elfu. Maji umeme. Mbali Na mji poa mradi daladala inafika. Hii Ni mipango ya January