Okoa kwa maana ya msingi ni kitendo cha kuondosha mtu au kitu katika hatari.Katika sentensi ya kwanza unaweza kuelezea kitendo cha kutoa chungu jikoni ili chakula kisiungue na moto na sentensi ya pili mara nyingi huelezea bidhaa au huduma za bei nafuu hivyo ununuzi wako utakufanya utumie hela kidogo au upate faida......nimejaribu