Wapi usahihi wa neno okoa liltumike

Wapi usahihi wa neno okoa liltumike

Mkungwa

Member
Joined
Dec 27, 2016
Posts
20
Reaction score
5
Nakumbuka wakati nipo mdogo
Mama kuna muda mwingine
Huwa ana mtuma Dada Akimwambia "oko"chungu jikoni
Lakini sasa ivi pia nasikia
Matangazo yana sema "okoa"pesa naombeni mnisaidi ili neno wapi ni mahali
Sahihit
 
Okoa kwa maana ya msingi ni kitendo cha kuondosha mtu au kitu katika hatari.Katika sentensi ya kwanza unaweza kuelezea kitendo cha kutoa chungu jikoni ili chakula kisiungue na moto na sentensi ya pili mara nyingi huelezea bidhaa au huduma za bei nafuu hivyo ununuzi wako utakufanya utumie hela kidogo au upate faida......nimejaribu
 
Back
Top Bottom