Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
Je, ukimya umetokana na baada ya kutafakari madhara ya kuvunja muungano. Madhara makubwa ambayo wanahofia ni pamoja na kuporomoka kiuchumi, kutokuwa na usalama wa chakula, kupoteza eneo kubwa la bahari, nk....?
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Tanzania