wapi tunakosea? turekebishe vipi?

Hapo ndio tunapokosea, hata kumbadilisha mtu inakuwa ngumu
Mmoja akiwa black, angalau mwenzie awe dark grey

umeona eeeh kuna mtu mwingine chemistry yenu inamatch kitandani na moyoni tu huko kwingine hakuna kwako red yeye ni black whiye ni green yaani ......bora tu upige kimya mshare kilichowezekana period!
 

sure, kukurupuka kubaya sana. halafu hii ipo kwa dadaz. sijui vile tunaona umri unaenda!
 

Hiki kifungu kilinifanya nipigwe kibuti hivi hivi na lazizi wangu kosa kubwa ni kuachia mashuzi usiku yenye harufu kali
 

uchaguzi wa mwenza naona unahusu sana,yaani unaweza ukawa na mtu hakufanyii makubwa ila uwepo wake tu watosha kukupa furaha ya maisha.
 

exactly, ingawa wengi hawalipendi hili... ukiambiwa twala bata inasaidia usijiachie sana. lol
 
tatizo hamuwajibiki hadi mpigwe mizinga, kuwa na moyo wa kutoa uone kama utapigwa hiyo mizinga. lol

Tatizo jingine inakula upande mmoja tu yaani ni Win Lose situation mwanamke ndiye anae faidi zaidi
 
kumbadilisha mtu uliemkuta na meno yake 32 net na ya ziada juu ni ngumu sana my dear...
besides sio lazima awe unavotaka saaaana.....

kweli.....ni vizuri kujiangalia na maisha yako pia...

Kinacho waponza wadadaz na mabebies ni kuiga maisha unaona sweetlady anaishi vile na jamaa ake nawe unasaka njemba kama wa SL ili nawe uishi kama yeye hii imewacost sana wadada wengine mmefikia mpaka kulazimisha ndoa muolewe matokeo yake ndoa hazidumu migogoro kila siku haishi
 
Last edited by a moderator:
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

Kupiga mizinga noma jamani inakera kha!
 
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

Mi naona kuhonga mwanamke ni rushwa kama rushwa nyingine, unamhonga ili iweje aaah upate kei sasa jamaa akichomeka na kumaliza fasta kwa nini mwanamke unalalamika wakati jamaa amekuhonga na amesha kata kiu yake yaani kalipia huduma
 
Hiki kifungu kilinifanya nipigwe kibuti hivi hivi na lazizi wangu kosa kubwa ni kuachia mashuzi usiku yenye harufu kali

hahaaaa umenichekeshaje maana nikipatia pozi la ushuz wenye harufu kali LOL
 
Jamani kuhongwa kipaji

Kuna wanamme wanajua kuhonga hadi mhongwaji unaumwa, huombi hata senti ila anakuingiza kwenye payroll moja kwa moja. Uwe una shida ama huna shida fungu lako liko pale pale.

hahahhahha, ukimpata wa hivyo mbona unamng'ang'ania mwanzo mwisho. wa siku hizi sijui ndio majukumu mengi hadi ukumbukwe ushazeeka
 

Swali kubwa la kujihoji unapoingia kwenye mahusiano ni "Nini matarajio yako/expectation zako kutoka kwenye uhusiano?" Kama expectation zenu haziendani au haziko sawa hapo lazima mtayumba mwisho wa siku.
 
Mi naona kuhonga mwanamke ni rushwa kama rushwa nyingine, unamhonga ili iweje aaah upate kei sasa jamaa akichomeka na kumaliza fasta kwa nini mwanamke unalalamika wakati jamaa amekuhonga na amesha kata kiu yake yaani kalipia huduma

basi bora tuseme kumuhudumia mpenzi wako maana neno kuhonga limekaa vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…