joel amani
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 100
- 8
samahani wadau sijawahi kuingia uwanja wa taifa kuangalia mechi ila leo nataka kwenda kuangalia mechi ya simba nimeomba ruhusa kazini,sasa wapi tiketi zinauzwa? au pale nje ya uwanja
samahani wadau sijawahi kuingia uwanja wa taifa kuangalia mechi ila leo nataka kwenda kuangalia mechi ya simba nimeomba ruhusa kazini,sasa wapi tiketi zinauzwa? au pale nje ya uwanja
Tena Sanaahsanteni wana jf mechi ya leo kali
lazima leo Mnyama anateketeza Miwa inayojipendekeza kustawi D'salaam.
Mnyama tayari keshatafuna miwa huko.Acheni kupiga bla bla tupeni matokeo. Simba keshafungwa?
haswaaaa!!!!!!!Mnyama hana ugonjwa kama Yeboyebo wa kulewa sukari!!!!
Yanga ngome ya Kagera walishindwa kuipenya, Simba ameweza.Simba 1-0 Kagera Sugar, Mfungaji Felix Sunzu.