Wapi soko la Silcon liquid lilipo?

Wapi soko la Silcon liquid lilipo?

Giltami

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2017
Posts
1,040
Reaction score
1,630
Wakuu, napenda kujua Silcon inayotoka kwenye miamba inakuwa ya moto ukiweka Taster inawaka inakuwa Red na black.

Solo lake lipo wapi na bei yake ikoje per litre.
 
Wakuu, napenda kujua Silcon inayotoka kwenye miamba inakuwa ya moto ukiweka Taster inawaka inakuwa Red na black.

Solo lake lipo wapi na bei yake ikoje per litre.
Mkuu umeipata wapi hiyo?
 
Mkuu tahadhari sana na hiyo biashara, kila siku unasikia watu wanaiongelea lakini hakuna hata mmoja anakwambia yeye amepata ni maneno na hadithi za kale tu
Kenge huwa hasikii mpaka masikio yatoke damu..

Mm mtu akiongeleaga hizi biashara huwa najikuta ninamdharau na kumshusha thamani sijui kwann.

Hizi biashara kifupi ni za waliopoteza matumaini ya kutoka kimaisha hasa hasa wazee na watu wa makamo.

Mtoa mada nisamehe kwa kukudharau ila unakotaka kwenda wengine tulishaenda tukajionea uhalisia.

Mambo sijui ya Mercury,Silicon,rupia(sijui za masimba simba)Fufumark,shilingi 1 ya malkia naiaka yake,pasi na mataakataka mengine ukijiingiza huko Utajuuta,narudia tena utajuuta.

Mwenzio nimesafirisha sana watu kwenda mombasa.kupelwka hizo mambo ila niliishia kupoteza hela zangu na kuachana nayo hayo.
 
P
Kenge huwa hasikii mpaka masikio yatoke damu..

Mm mtu akiongeleaga hizi biashara huwa najikuta ninamdharau na kumshusha thamani sijui kwann.

Hizi biashara kifupi ni za waliopoteza matumaini ya kutoka kimaisha hasa hasa wazee na watu wa makamo.

Mtoa mada nisamehe kwa kukudharau ila unakotaka kwenda wengine tulishaenda tukajionea uhalisia.

Mambo sijui ya Mercury,Silicon,rupia(sijui za masimba simba)Fufumark,shilingi 1 ya malkia naiaka yake,pasi na mataakataka mengine ukijiingiza huko Utajuuta,narudia tena utajuuta.

Mwenzio nimesafirisha sana watu kwenda mombasa.kupelwka hizo mambo ila niliishia kupoteza hela zangu na kuachana nayo hayo.
Pole sana mkuu umeandika kwa hisia sana kiufupi kabla hujanisharau jidharau ww uliyepoteza utanisamehe ila una ujinga Fulani Fanya tafiti ya jambo kabla hujafanya
 
P

Pole sana mkuu umeandika kwa hisia sana kiufupi kabla hujanisharau jidharau ww uliyepoteza utanisamehe ila una ujinga Fulani Fanya tafiti ya jambo kabla hujafanya
Sawa mkuu huo ujinga ndio ulionisaidia na kujinasua kutoka huko

Halafunnature ya haya mambo huwa mtu anakuwa km amerogwa vile km ww ulivyo hata aje akwambie nani kuwa achana na hayo mambo utamuona mchawi wako hivyo pambana mkuu kupata watu wa kutumbua hela zako.

Ila.narudia.tena kuwa Utajuuuta!Utajuta we jifanye mqerevu ila utatoboa yaani Gramu moja tu ya Silicon unajenga ghirifa kadhaa.Hahahahahaha
 
Back
Top Bottom