Wapi Seleman Msindi (Afande Sele)?

Wapi Seleman Msindi (Afande Sele)?

Ni muda mrefu sijasikia harakati za Afande huyu aliekimbia bunduki sasa anapambana na mike, namaani baba tunda jema, je? harakati zinaendeleaje pale Morogolo au amezidiwa na mafuriko ya UKAWA?

Bado anatembeza bakuli ili aanze kampeni ya kuongoza wana wa morogoro
 
Alikuwa makini sana huyu jamaa ukiacha tabia zake za kusasambua.Nini kilimfanya afuate plans za MM atajaza mwenyewe
 

Attachments

  • images-1.jpeg
    images-1.jpeg
    15.4 KB · Views: 343
Nyie pigeni kelele tu, ila Moro na Abood ni chanda na pete, hao wengine ni wasindikizaji tu wanaishia stendi then mwenye safari yake anapanda gari. Mtaishia msamvu, Abood ndo ataenda Dodoma

Umeielewa mada lakini???
 
Cha msingi ni wewe kupata ujumbe wangu hayo yakwako ni mbwembwe tu

Ujumbe dhaifu.....ww ni miongoni mwa wanaJF wanaopost hovyo hovyo bila mantiki au ueledi.......kuna mtu ameshauri kuwe na limit ya kupost kwa people like you
 
Ujumbe dhaifu.....ww ni miongoni mwa wanaJF wanaopost hovyo hovyo bila mantiki au ueledi.......kuna mtu ameshauri kuwe na limit ya kupost kwa people like you

Zigo hilo lako limekukwama
 
Moro kugumu sana, kumshinda Abood labda akachanje chale kwenye ulimi na katikati ya moyo halafu apakwe kinyesi cha allien
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom