Wapi pana gap la ajira?

Wapi pana gap la ajira?

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
Hello JF,

Leo tuisadie serikali yetu kutambua wapi potentially pangetengeneza ajira.

Mimi naanza:

Serikali inge invest kwenye mental health problems. One in four experiences mental health difficulties.

Ila mpaka leo kuna referral hospital tatu tu-Dodoma na Muhimbili, Mloganzila (nimetoka huko kitambo).

Halafu kuna utitiri wa dispensaries kwa ajili ya physical diseases na sio mental health conditions.

Serikali inge invest kwenye hili eneo, kungetoa ajira. Sio tu kwa wafanyakazi wa kawaida bali wengine wangeshawishika kufungua dispensary kwa ajili ya mental health conditions.

Further providing job opportunities.

Haya na nyie mnaona wapi kuna gap.
 
serikali ijenge shule kila kata iwe na zaidi ya shule moja kuondoa msongamano wa wanafunzi wengi ndani ya darasa moja, darasa moja kuwa na zaidi ya wanafunzi 150 ni hatari kwa maendeleo ya elimu

hii itatoa fursa za ajira kwa walimu wahitimu wote wanaosota mitaani tangu 2015 bila ajira
 
Unadhani dawa ni kuwekeza kwenye kufungua center za kuhudumia wenye magonjwa ya akili ama ni kutafuta sababu ya watanzania kuwa victims wa mental related issues na kujua namna ya kutibu chanzo? Hongera kwa kuona fursa, nashauri pia pawe na kiwanda cha kuzalisha machizi wengi ili wigo wa ajira uongezeke!
 
Unadhani dawa ni kuwekeza kwenye kufungua center za kuhudumia wenye magonjwa ya akili ama ni kutafuta sababu ya watanzania kuwa victims wa mental related issues na kujua namna ya kutibu chanzo? Hongera kwa kuona fursa, nashauri pia pawe na kiwanda cha kuzaliza machizi wengi ili wigo wa ajira uongezeke!

Sasa kujua victims wa mental health issues utajuaje bila kuwa na facilities??? Na ukishajua hizo sababu zinazowafanya watanzania kuwa na health related issues, utawaacha hivyo hivyo hilo sub-group wanaoumwa??? Km unataka wapone utafanya nini km sio kuwatuma hospital?? Utakua na ishu na Becky wewe... mwenzio hata sijali
 
serikali ijenge shule kila kata iwe na zaidi ya shule moja kuondoa msongamano wa wanafunzi wengi ndani ya darasa moja, darasa moja kuwa na zaidi ya wanafunzi 150 ni hatari kwa maendeleo ya elimu

hii itatoa fursa za ajira kwa walimu wahitimu wote wanaosota mitaani tangu 2015 bila ajira

Hata mimi niliwaza hivyo hivyo.. pia wangeongeza masomo kwenye secondary ..masomo yanayofundishwa chuo kikuu yangefundishwa at basic level huku chini kwenye Secondary
 
Na hao watakaoenda kuhudumu wawe wavumilivu maana watu wenye matatizo ya afya ya akili unaweza toa hata meno yote kwa jinsi walivyo na visa!!
 
Na hao watakaoenda kuhudumu wawe wavumilivu maana watu wenye matatizo ya afya ya akili unaweza toa hata meno yote kwa jinsi walivyo na visa!!

😁😁,kuna njia za kum strain mtu..I agree ni kazi ngumu
 
Sasa kujua victims wa mental health issues utajuaje bila kuwa na facilities??? Na ukishajua hizo sababu zinazowafanya watanzania kuwa na health related issues, utawaacha hivyo hivyo hilo sub-group wanaoumwa??? Km unataka wapone utafanya nini km sio kuwatuma hospital?? Utakua na ishu na Becky wewe... mwenzio hata sijali
Sina wivu hata kidogo...Nyerere aliona tatizo kwa wagogo miaka hiyo akaamua kuwekeza mirembe! Akaona fursa Tanga kikajengwa kiwanda cha Katani, nina jirani naye ni seremala aliona fursa akaamua kufungua karakana ya majeneza kwenye hospitali kubwa kubwa ndo maana nikasifu utafiti wako na kukutia moyo kwamba kwa stress za maisha watu wanazokumbana nazo awamu hii ukiwekeza kwenye kutibu bipolar disorders basi wewe ni bilionea mtarajiwa kwenye awamu ijayo! Na kupitia ukwazi utakaokua umepata basi utalipa gawio serikali ili inunue ndege nyingine!
 
Sina wivu hata kidogo...Nyerere aliona tatizo kwa wagogo miaka hiyo akaamua kuwekeza mirembe! Akaona fursa Tanga kikajengwa kiwanda cha Katani, nina jirani naye ni seremala aliona fursa akaamua kufungua karakana ya majeneza kwenye hospitali kubwa kubwa ndo maana nikasifu utafiti wako na kukutia moyo kwamba kwa stress za maisha watu wanazokumbana nazo awamu hii ukiwekeza kwenye kutibu bipolar disorders basi wewe ni bilionea mtarajiwa kwenye awamu ijayo! Na kupitia ukwazi utakaokua umepata basi utalipa gawio serikali ili inunue ndege nyingine!

Nataka watu wapate access to treatment ili wapone,haya ya fursa baki nayo!
 
Nataka watu wapate access to treatment ili wapone,haya ya fursa baki nayo!
Rebeca 83 unafikiri nakubishia ndugu? Nachotaka kusema hapa ni kwamba huja declare interest ila unaonekana ni mdau wa elimu ya afya na huenda umejikita zaidi kwenye magonjwa ya akili, sasa tambua wazi kwamba lengo la kutoa graduates si kupata ajira bali kuajiri, sasa kwa kuwa tatizo ni mtaji mnapaswa kuunganisha mawazo kama kundi kisha mkatengeneza wazo, kisha wazo hilo mkalipeleka kwa wawakilishi wa vyombo vya maamuzi na likionekana linafaa basi muwe equipped kwa ajili ya implementation ya wazo husika...asante!
 
Rebeca 83 unafikiri nakubishia ndugu? Nachotaka kusema hapa ni kwamba huja declare interest ila unaonekana ni mdau wa elimu ya afya na huenda umejikita zaidi kwenye magonjwa ya akili, sasa tambua wazi kwamba lengo la kutoa graduates si kupata ajira bali kuajiri, sasa kwa kuwa tatizo ni mtaji mnapaswa kuunganisha mawazo kama kundi kisha mkatengeneza wazo, kisha wazo hilo mkalipeleka kwa wawakilishi wa vyombo vya maamuzi na likionekana linafaa basi muwe equipped kwa ajili ya implementation ya wazo husika...asante!

Nimeleta hii topic hapa sio tujadili Afya ya matatizo ya akili,hilo ni wazo langu na nyie mtaje sehemu zenye fursa ambazo Serikali ika invest watu wakapata ajira..
 
Kwenye Technology huko miaka ya mbele mambo yatakua yamepamba moto..
Kama unakatoto kako kasomeshe Computer science.
Aisee kabisa...huko tunakoelekea binadamu anaenda kutumia akili yake kwa asilimia zote..watu watafanya investment kweye Teknolojia kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa...swali ni kwamba tumejiandaaje..
 
Aisee kabisa...huko tunakoelekea binadamu anaenda kutumia akili yake kwa asilimia zote..watu watafanya investment kweye Teknolojia kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa...swali ni kwamba tumejiandaaje..
For sure mkuu. Artificial intelligence is taking the world to another level.
Mwanao kama anapenda vishazi chapa sana makwenzi. Physics ikae
 
Nimeleta hii topic hapa sio tujadili Afya ya matatizo ya akili,hilo ni wazo langu na nyie mtaje sehemu zenye fursa ambazo Serikali ika invest watu wakapata ajira..
Wengine ni wataalamu wa milipuko na vilipukizi, sasa tukileta mapendekezo ya sehemu za kuwekeza nchi haitakuwa tena salama kwa matumizi ya binadamu (Joking)
 
For sure mkuu. Artificial intelligence is taking the world to another level.
Mwanao kama anapenda vishazi chapa sana makwenzi. Physics ikae
Miaka michache tu nyuma watu walikua wanapiga picha toka juu kwa helicopter na mikamera mikuubwa...now days ni mwendo wa drones tu..na hapo tayari mpiga picha na rubani kazi hawana...
 
Back
Top Bottom