jaman hz shule zimebak jina tu kwny ufund, mi nilimaliza iyunga lakin kwenye swala la masomo ya ufund yan hamna kitu kuanzia walim mpk mitaala ya kufundishia yan nadhan ni shule zote za ufund ni ivo ivo tu juz kat nilifik mosh tech hali ni ile ile. kitu tulichokuw tunafany ni kuepuk kupat F ya hayo masomo sio tena kuyafaulu