Google.
Sawa nitakutafutakinondoni kuna ofisi wananunua, namanga na pia magomeni, nitafute 0653809008 tuelekezane
Inatoka tunduma. Niko Dar kwa sasa. Ni sampuli kadhaa tudar na arusha soko lipo kama yapo vizuri. but inatoka wilaya gani hiyo acquamarine? na wewe uko wapi?
Kama huna cha kuchangia bora ukae kimya. Nilianza kwa ku google sikupata nilichokuwa natafuta. Lakinj uki google picha za acquamarine gemstone ziko za kumwaga.gugo na wewe ujue utauza wapi
tunduma sehemu gani maana hayo madini yanapatikana kwenye majiInatoka tunduma. Niko Dar kwa sasa. Ni sampuli kadhaa tu
kama huna cha kuandika bora ukae kimya... haya madini wewe sio wakwanza kuyaelewa kuyafanyia biashara...Kama huna cha kuchangia bora ukae kimya. Nilianza kwa ku google sikupata nilichokuwa natafuta. Lakinj uki google picha za acquamarine gemstone ziko za kumwaga.
Habari za leo. Umesema unayo madini yapo kiasi gani mkuu?Nina vito (Gemstone) aina ya Acquamarine. Je kwa hapa TZ naweza kuuza wapi?
weka jina lako halisi kama kweli unahitaji kufanya biashara then nitafute kupitia contact za ofisiniNina vito (Gemstone) aina ya Acquamarine. Je kwa hapa TZ naweza kuuza wapi?
Usalama wataifa mna mamboweka jina lako halisi kama kweli unahitaji kufanya biashara then nitafute kupitia contact za ofisini
Nenda 'SOKO LA MADINI GEITA' limefunguliwa juzi na PM mkuujohanes chris, nina madini ya vito. QUAZ, AMETHYST, GREEN TOUMALINE.0762977157