WAPI NITAPATA VIOO VYA TV DSM

WAPI NITAPATA VIOO VYA TV DSM

Deejayptz

Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
64
Reaction score
19
Msaada nahitaji kujua sehemu nayoweza kupata vioo vya tv Flatscreen LG na Samsung kwa hapa Dar ikiwezekana na fundi wa kubadilisha.
 
Msaada nahitaji kujua sehemu nayoweza kupata vioo vya tv Flatscreen LG na Samsung kwa hapa Dar ikiwezekana na fundi wa kubadilisha.
Kununua kioo ni karibu sawa na kununua tv.....
Last kuuliza samsung walikua nazo....
 
Kwanini usirudi kuuliza hapo uliponunua TV?

Muda mwingine muwe mtatupa muda tutafakari sio kila saa Thread.
sio lazima kusoma pia kila post Boss kama nimenunu online tauliza wapi? sio vzr kujibu majibu ambayo yanamkera m2 hata usiyemfamu
 
Unakereka na majibu ambayo hayana maana, hata Online kuna Vioo pia.
bado cjajua unatafuta nnn kwenye post hii mpk ss unaacha kabisa kufaya kazi zako upo busy na post yng unabishana kwa ki2 kisicho na maana kwako kama vile jamiiforum ni mali yako Duuh!! binaadam bhana
 
bado cjajua unatafuta nnn kwenye post hii mpk ss unaacha kabisa kufaya kazi zako upo busy na post yng unabishana kwa ki2 kisicho na maana kwako kama vile jamiiforum ni mali yako Duuh!! binaadam bhana
Sijajua unaumia nini nikichangia kwenye uzi wako, unaacha kufanya kazi zako unakaa kuponda andiko langu.

Tumia basi akili kidogo.
 
Msaada nahitaji kujua sehemu nayoweza kupata vioo vya tv Flatscreen LG na Samsung kwa hapa Dar ikiwezekana na fundi wa kubadilisha.
kariakoo vipo bei ni hii kama utahitaji nikuelekeze 300,000/= bei hiyo ni ukubwa wa inch 32 zaidi ya hapo sijui bei.
 
Back
Top Bottom