Wapi nitapata viatu kama hivi kwa hapa Arusha

Wapi nitapata viatu kama hivi kwa hapa Arusha

watu wamekariri kila kitu fake,hiki kiatu huuzwa laki+ lakini unaweza kubahatisha ukachukua kwa 70, sijui ni kwanini wauzaji hufanya hivo
mimi nilikikuta kwenye maduka matatu yote yapo karibu, Duka la kwanza ni laki bei ya mwisho ,la pili ni elfu 90 na la tatu alisema 80 nikampiga fix mpaka 70
 
Tims og laki tatu na ushenzi nililetewa zawadi from uk na ile buti ni made in dominican republic
Mkuu,sio kwamba kiwanda kinatoa viatu mbali mbali vya bei tofauti ? mfano kampuni za simu zinavofanya
 
Ndula kama hizo ziliwahi kuniletea msukosuko hapo Arusha mwaka ya 1995....

Nilizinunua majuu kwa ajili ya Safari, kufika Arusha wakora wakanifanyizia unyambisi, wakanivua viatu, pesa na pasi ya kusafiria.

Nilifanikiwa kuwadaka wabaya wangu Baada ya kuanzisha msako binafsi kimya kimya. Nilipiga Kambi Arusha nusu mwaka kwenye kesi iliyowapeleka wakora hao miaka 30 jela....

Mkuu kwa nini unavitaka sana hivyo viatu?.
 
Ndula kama hizo ziliwahi kuniletea msukosuko hapo Arusha mwaka ya 1995....

Nilizinunua majuu kwa ajili ya Safari, kufika Arusha wakora wakanifanyizia unyambisi, wakanivua viatu, pesa na pasi ya kusafiria.

Nilifanikiwa kuwadaka wabaya wangu Baada ya kuanzisha msako binafsi kimya kimya. Nilipiga Kambi Arusha nusu mwaka kwenye kesi iliyowapeleka wakora hao miaka 30 jela....

Mkuu kwa nini unavitaka sana hivyo viatu?.
Duh Pole sana mkuu,binafsi navielewa tu sana
 
Viatu dizaini hii vyote ni feki mkuu wala hamna cha kuangalia angalia hapo.
Hivi viatu ukiona vimepigwa weusi kama domo la fisi mbele huwa ni fake ni vya kimara, wako Machalii pale hatari sana, ufeki wake unakuwa katika soli, lakini kwa ngozi ya juu wanapatia kwa 100%,infact wajitahidi kupata soli nzuri na imara.
 
Nairobi viko imara sana unatumia miaka hadi unachoka hata maeneo ya porini mikiki ya shughuli za shamba haviharibiki wala.

Utasema made in German
 
Hapo ni karibu na Nairobi agiza mtu akifika akupigie picha aina tofauti tofauti vya Muundo huo kisha akwambie bei uagize.

Kule viko vizuri sana zaidi kuliko hivyo vya Muundo huo wa boot.
 
Back
Top Bottom