Wapi nitapata viatu kama hivi kwa hapa Arusha

Wapi nitapata viatu kama hivi kwa hapa Arusha

Njoo matejoo tu na hiyo hela pamoja na simu yako iweke chaji ijae kabisa tutakusaidia kutafuta hiyo kiatu
Haaaaa Haaaaa 😂 mkuu nakuogopa mbaya kabisa kumbe upo hii town ya watalii 😀😀😀
 
Haaaaa Haaaaa mkuu nakuogopa mbaya kabisa kumbe upo hii town ya watalii
Eeh bana Geneva ya africa tuko nayo bega kwa bega, karibu ol-matejoo usipaogope huku ni full amani kila baada ya nyumba 10 unakuta msikiti na kanisa ila watoto kutoka huko mitaa ya kishua wameamua kutuharibia jina la mtaa wetu matejoo, wanaamisha wageni kuwa huku ni chimbuko la vibaka na wezi kitu ambacho si kweli hakuna kesi za kukabana wala nini.
 
884776BF-C942-4785-8140-136E4BE9607C.png
 
Back
Top Bottom