Wapi nitapata Samaki wa Kubanika kwa jumla Mwanza

Wapi nitapata Samaki wa Kubanika kwa jumla Mwanza

Nyavinene

Senior Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
164
Reaction score
174
Jamani!

Nipo natokea Tabora naelekea Kisumu Kenya ila natarajia kununua samaki wa kwenda nao huko. Kwa wenyeji naomba mnipe mwalo wa kupata hizo samaki kwa bei ya jumla
 
Back
Top Bottom