unataka Aina gani...zaid ni RS na size gani.. mm tuwasiliane nitakuletea....
Imalaseko na uchumi supermarket yapo saizi kuanzia ndogo hadi kubwa, pia supermarket za mlimani city waone watakuelekeza wapi utapata kwa jumla.
Kama upo hapa mjini dsm, nenda kariakoo mtaa wa nyamwezi na mkunguni uliza dukani kwa abdulswamad muuza madawa ya asili utapata.