Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

Wapi nitapata mtaalam wa tiba ya tezi dume?

Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume.

Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali.

Mgonjwa yupo Morogoro.
Mkuu to be honest matibabu ya Tez dume mgonjwa akifanyiwa upasuaji(surgery)anatakiwa akutane na Daktari bingwa(specialist)maana mishipa ya Tez ni midogo sana ikitokea akafanyiwa vibaya upasuaji mara nyingi inajirudia tena na ikisharud tena itabid afanyiwe upasuaji mara ya pili na akishafanyiwa mara ya pili inabadilika na kuwa saratani(cancer)
Kama upo Dar nakuomba unitafute nikuelekeze upate tiba itakayomtibu kabisa,huu ugonjwa ni hatari sana
 
Mkuu to be honest matibabu ya Tez dume mgonjwa akifanyiwa upasuaji(surgery)anatakiwa akutane na Daktari bingwa(specialist)maana mishipa ya Tez ni midogo sana ikitokea akafanyiwa vibaya upasuaji mara nyingi inajirudia tena na ikisharud tena itabid afanyiwe upasuaji mara ya pili na akishafanyiwa mara ya pili inabadilika na kuwa saratani(cancer)
Kama upo Dar nakuomba unitafute nikuelekeze upate tiba itakayomtibu kabisa,huu ugonjwa ni hatari sana
Sawa nakutafuta.
 
Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume.

Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali.

Mgonjwa yupo Morogoro.
poleni sana
Cha kwanza nikuweke sawa tezi dume si ugonjwa ,kila mwanaume lazima awe na tezi dume
ila ugonjwa kwa tezi dume ni hali 3

1.Tezi dume kutanuka (kujaa nyama)

2.Tezi dume kuvimba (kujaa maji au damu)

3.Kansa ya tezi dume

ukintumia vipimo nitajua anaangukia kipengele kipi. Kuna tezi dume huzuia mkojo kutoka na kuna tezi dume ya mkojo kutoka bila hiyari ya muhusika. Ntumie vipimo
 
Muhimbili nitaanzia kujaribu hapo maana private bima wanasumbua.
Mloganzila mzee hawezi kukubali kutokana na hearsays mitaani.

Hakuna dawa za kunywa, nimetibiwa tezi dume mwaka 2022!! Nilikunywa kila dawa naambiwa inatibu bila upasuaji na bado iliendelea kukua na kunitesa!!

Nenda Agha Khan wanatumia njia ya Sistoscopy haihitaji kupasuliwa kwa kuchana bali vifaa vinaingizwa kupitia tundu la mkojo!! Sijajua kwa huko kwingine

Afya ni gharama!!
 
Hakuna dawa za kunywa, nimetibiwa tezi dume mwaka 2022!! Nilikunywa kila dawa naambiwa inatibu bila upasuaji na bado iliendelea kukua na kunitesa!!

Nenda Agha Khan wanatumia njia ya Sistoscopy haihitaji kupasuliwa kwa kuchana bali vifaa vinaingizwa kupitia tundu la mkojo!! Sijajua kwa huko kwingine

Afya ni gharama!!
Gharama yake ipoje hii huduma kwa sasa?
 
Hakuna dawa za kunywa, nimetibiwa tezi dume mwaka 2022!! Nilikunywa kila dawa naambiwa inatibu bila upasuaji na bado iliendelea kukua na kunitesa!!

Nenda Agha Khan wanatumia njia ya Sistoscopy haihitaji kupasuliwa kwa kuchana bali vifaa vinaingizwa kupitia tundu la mkojo!! Sijajua kwa huko kwingine

Afya ni gharama!!
Nimefurahi kupata mtu ana experience ya Kupanuka kwa Tezi Dume. Ukisaga Tezi Dume lina tabia ya kurudia kuvimba baada ya wastani wa miaka 5. Mimi nilisaga mwaka 2017 na ilirudi baada ya miaka 7 (2024).

Kama ulivyosema, hakuna dawa ya kutibu kuvimba bali kuiondoa kwa operation. Madhara wakiiondoa haisimami tena, ni bora ukiwa Padre ila kama umeoa, hapo muziki.

Kusaga kupitia tundu la mkojo, si tiba bali ni kupunguza makali ya Uvimbe na usisahau inapovimba inatoa sumu mwilini. Kwa minajiri hiyo, hata PSA ikiwa ni ndogo 0-4 au volume yake ni kati ya 0-31CC bado itaendelea kutoa sumu mwilini.

Mpaka sasa Wachina ndiyo wanaoweza kutibu bila upasuaji kwa kuipiga sindano, maana uanaambiwa Tezi Dume huwa na mechanism ya kijilinda, hivyo ukinywa dawa haiwezi kuifikia.

Kwa upande wangu nina kawaida ya kupima mwili - Full Body Check-up angalau kwa mwaka mara moja. Tezi langu lilianza kuvimba nilipofikisha miaka 50.

Dawa ya Kichina ambayo inaifanya Tezi Dume lisinyae ni kutoka kwa Dr Song ambaye ameresearch kwa muda wa miaka 30 akapata kiboko ya Tezi Dume. Unaitumia kwa muda wa miezi 4 na unapona. Hii ni dawa maalum kwa Cancer ya Tezi Dume ila na Tezidume lililovimba inatibu tu.

Hii ni ghali sana ila kwa Waswahili na kama haijavimba sana, tumia mabaka ya Mzambarau. Dawa za hospitali hazisaidii maana haziwezi kupenyeza katika Tezi Dume.
 
Hospital zote za mkoa za serikali hutoa hii huduma hasa ya upasuaji mara nyingine wagonjwa wengine huweza kupasuliwa zaidi ya maramoja ikiwa hupasuaji wa awali haukuleta matunda, ila tiba asili huitaji kufanyiwa upasuaji dawa hutosha kutokomeza hili tatizo.
Ukihitaji matibabu ya mitishamba ni PM na pia ukihitaji matibabu ya Hospital nitakupatia connection ya Dr wa KCMC ambaye ni mbobevu pia kwenye upasuaji wa hili tatizo.
Fanya haraka kufanya tiba kwani likizidi huleta maumivu makali hasa kwenye mfumo wa mkojo kibofu na pia hubana njia ya mkojo.
 
Back
Top Bottom