Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Kwa kariakoo ni maeneo gani naweza kupata Yale magodoro madogo ya wanafunzi? Nataka mawili alafu bajeti yangu haizidi elfu arobaini (40,000) kwa yote mawili. Msaada tafadhali nataka kuwanunulia madogo wakasake elimu.