Natafuta koboko au hata ngozi yake nchi 6 x9 na kuendelea kama unaye au unayo bei isizidi laki tano kwa koboko mzima au laki mbili kwa ngozi ndefu na safi
Nenda wilaya ya Urambo au Igunga Tabora wapo koboko wakutosha tena na zaidi ongea na wenyeji wa vijijini fanyeni mambo by the way mkuu koboko ni nyoka hatari Sana natumaini unajua hili.
Natafuta koboko au hata ngozi yake nchi 6 x9 na kuendelea kama unaye au unayo bei isizidi laki tano kwa koboko mzima au laki mbili kwa ngozi ndefu na safi