Wapi nitapata kioo cha sony xperia z2

Wapi nitapata kioo cha sony xperia z2

Nenda samora ukitokea picha ya askari baada ya sapna upande huohuo kabla ya kufika bookshop ulizia vijana wanaokaa kaa pale kwa fundi sele, atakusaidia. Mi kantengezea yangu muda sasa iko ok. Ghali kidogo but reliable
Unapanda kwenye kale kagorofa..
 
Wanabodi,
Nimeangusha simu tajwa hapo juu kioo kimepata ufa ila simu inawaka vizuri tu,
Tatizo ni kwamba touch screen inazingua nashindwa kufanya chochote hata kuswipe screen lock.
Wakati mwingine huwa inajibofya yenyewe so nadhani tatizo lipo kwenye digitizer.


Naomba mnishauri nifanyeje?
Kama kureplace je nitapata wapi hiyo digitizer na gharama inaweza fika Shilingi ngapi?

C.C Chief-Mkwawa ,godfrey electronics @drphone wengineo msaada/ushauri wenu unahitajika
Kama bongo bei itakushinda Ni bora ukaagiza tu ..pita ebay bei ina range $22 had 25..bei ni nafuu sana kuliko hapa nyumbani.
 
Kama bongo bei itakushinda Ni bora ukaagiza tu ..pita ebay bei ina range $22 had 25..bei ni nafuu sana kuliko hapa nyumbani.
Ahsante kwa Ushauri.
Nilimpelekea Chimuke kule Samora kanipiga 100K sïmu ipo poa
 
Back
Top Bottom