Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,274
- 29,144
Unapanda kwenye kale kagorofa..Nenda samora ukitokea picha ya askari baada ya sapna upande huohuo kabla ya kufika bookshop ulizia vijana wanaokaa kaa pale kwa fundi sele, atakusaidia. Mi kantengezea yangu muda sasa iko ok. Ghali kidogo but reliable