mkuu nitafute mm nipo dar ninayo siitumii nitakupa bureee kabisaa kwa heshima ya jf.
Ww garama yako ni kuja tu maeneo ya mwenge karibu na msikitini ndio napopatikana .ni pm mkuu nikupe contact zangu
mkuu nitafute mm nipo dar ninayo siitumii nitakupa bureee kabisaa kwa heshima ya jf.
Ww garama yako ni kuja tu maeneo ya mwenge karibu na msikitini ndio napopatikana .ni pm mkuu nikupe contact zangu
wana jf napenda kutoa shukrani zangu kwa msaada wenu,nimepata moderm ya zantel niliyo kuwa nahitaji tena bure kabisa.shukrani za dhati zimwendeye bwana LEGE.
wana jf napenda kutoa shukrani zangu kwa msaada wenu,nimepata moderm ya zantel niliyo kuwa nahitaji tena bure kabisa.shukrani za dhati zimwendeye bwana LEGE.