Wapi ninaweza kupata machine ya kukunia nazi?

Wapi ninaweza kupata machine ya kukunia nazi?

Lello199

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
1,385
Reaction score
3,556
Habari wakuu!

Naomba kujulishwa mahali naweza kupata mashine za kukwangua nazi kama hii inayoonekana kwenye picha kwa hapa Dar es salaam na bei zake.

Natanguliza shukrani kwenu!

IMG_20210222_135810.jpg
 
Back
Top Bottom