Lello199 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 1,385 Reaction score 3,556 Feb 23, 2021 #1 Habari wakuu! Naomba kujulishwa mahali naweza kupata mashine za kukwangua nazi kama hii inayoonekana kwenye picha kwa hapa Dar es salaam na bei zake. Natanguliza shukrani kwenu!
Habari wakuu! Naomba kujulishwa mahali naweza kupata mashine za kukwangua nazi kama hii inayoonekana kwenye picha kwa hapa Dar es salaam na bei zake. Natanguliza shukrani kwenu!
Nyoka mwenye makengezaa JF-Expert Member Joined Nov 22, 2019 Posts 787 Reaction score 1,055 Feb 23, 2021 #2 Nenda sido wanatengeneza kwa oda.
Lello199 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 1,385 Reaction score 3,556 Feb 23, 2021 Thread starter #3 Nyoka mwenye makengezaa said: Nenda sido wanatengeneza kwa oda Click to expand... Shukrani mkuu!