hamna cha ndama mtoto wa ngomb'e wala cha kifaranga kitoto cha kuku...
Kama umezoea kudhulumu na wewe utadhulumiwa..
Tena ana bahati angepata yaliyomkuta kama yule waliyempuputisha makorodani china ningefurahi....
Nina hasira na huyu jamaa sana alimtapeli ndugu yangu vijimadini vyake masikini
pumbaaaav
.....
But wait si nilisikia kanunua audi q7 juzi kati??