Mtwara nimenunua wiki mbili zilizopita Sh.18,000/= kwa kiloHabar wana jukwaa ni sehem gani nawez pata korosho za jumla ambazo zimeshatengenezwa mimi nipo dar
Kwani mkuu wewe unanunua kwa bei gani na unahitaji kiasi ganiHapo si itakua hadi kipind cha mavuno
Acha ukilaza. Nenda wanapouza korosho kama ni super market nunua pakiti moja. Kwenye ile pakiti utakuta namba za wazalishaji. Ukiwapigia watakupa maelekezo zaidi...Habar wana jukwaa ni sehem gani nawez pata korosho za jumla ambazo zimeshatengenezwa mimi nipo dar
Sasa huoni kama wewe ndo kilaza wale hawawezi kukupa contact za wanapo nunua mana utaingia kwenye ushindani na wao sokoniAcha ukilaza. Nenda wanapouza korosho kama ni super market nunua pakiti moja. Kwenye ile pakiti utakuta namba za wazalishaji. Ukiwapigia watakupa maelekezo zaidi...
Wewee ndio kilaza zaidi. Hivi ushawahi kununua korosho kweli? Ni sawa na unaponunua maji ya uhai, utakuta kuna cotacts za Azam, na korosho pia. Ukinunua kwenye ile pakiti utakuta kuna namba za wanaofungasha...Sasa huoni kama wewe ndo kilaza wale hawawezi kukupa contact za wanapo nunua mana utaingia kwenye ushindani na wao sokoni
Nalindele ARI kilo iliyogengenezwa tayari ni sh. 25000/=Habar wana jukwaa ni sehem gani nawez pata korosho za jumla ambazo zimeshatengenezwa mimi nipo dar
We ndo mburula kabisa sasa unadhani zile contact ni za kukupa trade mark zao zile zipo ili uweze kuwasiliana nao kama utahitaji bidhaa zaoWewee ndio kilaza zaidi. Hivi ushawahi kununua korosho kweli? Ni sawa na unaponunua maji ya uhai, utakuta kuna cotacts za Azam, na korosho pia. Ukinunua kwenye ile pakiti utakuta kuna namba za wanaofungasha...
Kama unataka nenda kiwandani kabsa na mzigo unachukua kiasi gani nenda pae export trade mtwaraWe ndo mburula kabisa sasa unadhani zile contact ni za kukupa trade mark zao zile zipo ili uweze kuwasiliana nao kama utahitaji bidhaa zao
But am sorry for this insult