Habari, naomba kufahamishwa mahali naweza mafundi bora na wa uhakika kwa hapa Dar es salaam wa computer ukiacha hawa wa machinga complex ambao baadhi yao wamekua sio waaminifu.
Natamani computer ipone ila natamani zaidi uaminifu kwasababu kuna mahala pengine hua wanaharibu makusudi kisha wanakuambia hii haiwezi kupona tuuzie sisi. Lakini hata isipopona ila ikibaki na vifaa vyake kama ilivokuja itakua ni bora zaidi kuliko kupelea vifaa vilivyokuepo mwanzo hasa pale machinga hio tabia imeshamili sana.me nashindwa kukuelewa. unata computer ipone au unataka uaminifu??
Habari,
Naomba kufahamishwa mahali naweza mafundi bora na wa uhakika kwa hapa Dar es salaam wa computer ukiacha hawa wa machinga complex ambao baadhi yao wamekua sio waaminifu.
Watu wa hivi watata sana!!me nashindwa kukuelewa. unata computer ipone au unataka uaminifu??
hahahaha, pole sanahaikuwa hivi