True Lover
Member
- Aug 8, 2016
- 32
- 47
Wakuu habari za humu!
Naombeni msaada kama kuna mtu anayejua sehemu ambayo naweza kupata vitoto vya nguruwe wa kisasa/vifaranga kwa Arusha.
Nina mpango wa kuanza na idadi ya 25 halafu baada ya miezi miwili nitachukua tena 20. Bajeti yangu kwa kitoto kimoja ni elfu 50.
Nimeenda pale LITI TENGERU hawana idadi ninayohitaji kwa sasa. Kama kuna anaefahamu sehemu nyingine naomba anifahamishe
Naombeni msaada kama kuna mtu anayejua sehemu ambayo naweza kupata vitoto vya nguruwe wa kisasa/vifaranga kwa Arusha.
Nina mpango wa kuanza na idadi ya 25 halafu baada ya miezi miwili nitachukua tena 20. Bajeti yangu kwa kitoto kimoja ni elfu 50.
Nimeenda pale LITI TENGERU hawana idadi ninayohitaji kwa sasa. Kama kuna anaefahamu sehemu nyingine naomba anifahamishe
