Habari waungwana,
Naomba msaada wenu, ni wapi naweza kupata simu TECNO N7 kwa Dar es Salaam.
Pia napenda kujua naweza kuipata kwa shilingi ngapi kwa sasa?
Nipo Ifakara, Morogoro.
Habari waungwana,
Naomba msaada wenu, ni wapi naweza kupata simu TECNO N7 kwa Dar es Salaam.
Pia napenda kujua naweza kuipata kwa shilingi ngapi kwa sasa?
Nipo Ifakara, Morogoro.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.