Dicky Sound magomen usalama km upo dar ana page yake instagram kwa jina hilohilo mtafute
Kila mtu anasema dogo uyo. JE ni kweli yupo vizurii? ..mawasaliano yake mpaka INSTAGRAM tu?? Poa nashukuru sana mkuu
Huko nadhan ndo utampata kirahis au km vp nenda magomen usalama ofsin kwake utampata
Dicky Sound magomen usalama km upo dar ana page yake instagram kwa jina hilohilo mtafute
Mkuu nimepata namba yake na maelezo mazurii kwa page yake ya INSTAGRAM nadhan kesho namtafuta mapema sana kabla sikukuu hazijaingia...ila vipi naskia bei zake kubwa ..vipi ni ngapi kwa MAXIMUM
Bei inaendana na Ubora,maana kama mziki hata wewe mwenyewe unaweza kuufunga.
Starehe gharama,Dogo yupo vizuri kupita maelezo,suala la bei inategemea na mfumo wako unaotaka.Ni bora uende ofisini kwake.Humu hakuna jibu la moja kwa moja.
Ubora wa kazi za mtu ni aina ya watu wanaomfuata,ana deal na celebrities wengi saana,sasa hii inaonyesha kwamba ubora wa kazi yake upoje,na hakuna hata mmoja alieenda kwake akasema kazi mbaya.
Ni mshauri mzuri sana katika kazi yake,hakurupuki tu na kuchukua hela yako,lazima akupe somo kwanza kwa ureefu ndio ujue unataka nini na ufanyie vipi
bei gani amekuchaji mkuuNime prove hilo mkuu.nimefungiwa system bora kabsa na dogo na ni kwa bei affordable kabisa .na speaker za pioneer ni nomaa sana .nashukuru wakubwa
Jamaa alikimbia, akafariki December 13, 2016.bei gani amekuchaji mkuu