Mkuu kama umeamua kuleta tatizo humu we funguka tuEti wakuu ni wapi naweza kufanya kipimo cha DNA kwa hapa Dar es salaam, kuna ishu inanisumbua nahitaji suluhisho....
Kama unafahamu sehemu husika naomba taarifa au mawasiliano.
Ni muhimu saaaaaana....
Hahaha mkuu.Hao madokta wanajua vipimo vya DNA bila kupima mkuu? , madokta wako wanatia shaka mkuu.......ama wewe ndiye unatia shaka....
Nimemwambia afunguke vizuri humu asaidiweujiandae kisaikolojia pia kwa matokeo yeyote ukishafanikisha
nenda kwa mkemia mkuu nyuma ya ocean road ,kuna taratibu za kufuata piaNafanikisha wapi wakati hujajibu swali au kutoa taarifa yoyote niliyohitaji?
Acha kukimbiakimbia kujibu swali lililoulizwa kwa kutoa maelezo meeeengi yenye dhana ambazo hazijajadiliwa,Nimemwambia afunguke vizuri humu asaidiwe
Anaeza ua mtu huko
Watu wenye uchumi unaoleweka wanapima kila siku ziendazo kwa mungu na hatusikii hayo matukio ya kuuana, hizi ni dhana zilizo jaa kwenye mioyo yetu ya uswahilini ya kudhani kuwa ukweli wowote mkali huwa unaleta mauaji au fujo,ujiandae kisaikolojia pia kwa matokeo yeyote ukishafanikisha
We mbona unatoka nje ya mada, mkuu anaomba apate process ya kupima dna Tanzania hii, wewe unasema nairobi km huna mchango weka emoji tupige likeKwa tz mkuu ni process ndefu sana..ila nairobi ni kamq unaenda kupima choo tu fasta majibu unapata
mbona Mimi sijaongelea kuuana mahali aiseeWatu wenye uchumi unaoleweka wanapima kila siku ziendazo kwa mungu na hatusikii hayo matukio ya kuuana, hizi ni dhana zilizo jaa kwenye mioyo yetu ya uswahilini ya kudhani kuwa ukweli wowote mkali huwa unaleta mauaji au fujo,
Tuondokane na hizi dhana za uswahilini, sisi watu masikini tunapenda sana maisha ya kibabaishaji na kukwepa ukweli eti tu kwa vile ukiujua utakuumiza, nasema no, ni lazima tujifunze kuukubalu ukweli na kuuchukulia positive kama ulivyo,
Why uue wakati mtoto sio wako, kwani watoto wote waliopo ni wako?
Hebu nipeni majibu ya swali langu kama munayo tafadhali....
Asante mkuu tupo pamoja, at least kama hujui basi ongea utumbo ila mwishoni useme kuwa hujui jibu.......Mtoa swali una hasira kama mnywa visusio kha! Ndo stress au? Kama huijui jf ndivyo ilivyo, hadi upate jibu labda page ya 5.
Mimi sijui wanakopima wala process za dna . Thanks