Wapi kuna intaneti yenye kasi nzuri?

Wapi kuna intaneti yenye kasi nzuri?

Andres

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2013
Posts
505
Reaction score
828
Wakuu Habari,

Nilikuwa nina kazi nataka niifanye na ni endelevu kidogo, sasa ningependa kufahamu ni wapi kwa Dar panakuwa na reliable and stable internet ambayo mtu unaweza ukafanya shughuli za mtandaoni kidogo.

Nilijaribu kuhotspot kwa simu, Gb zikawa zinakatika mpaka nashangaa kama mtu anabugia. Na eneo nililopp hapa hamna fibers bado.

Nilijaribu Grano Coffee and Istanbul Restaurant kwakweli internet zao zilikuwa weak.
 
Unataka Internet ya bure au?

Basically Yes but in turn kama ni hotel au lounge nitanunua service au products zao. Au kama kuna WiFi ya kulipia nayo it’s fine
 
Basically Yes but in turn kama ni hotel au lounge nitanunua service au products zao. Au kama kuna WiFi ya kulipia nayo it’s fine
Kwa Internet za bure nyingi utakuwa disappointed na speed kiukweli.

Voda ni mtumiaji mkubwa na sijawah kuwa na bad experience in terms of speed ya internet.
 
Kwa Internet za bure nyingi utakuwa disappointed na speed kiukweli.

Voda ni mtumiaji mkubwa na sijawah kuwa na bad experience in terms of speed ya internet.

Voda kwa wifi kwenye pc, ngoja nijaribu nione kama itawork
 
Wakuu Habari,

Nilikuwa nina kazi nataka niifanye na ni endelevu kidogo, sasa ningependa kufahamu ni wapi kwa Dar panakuwa na reliable and stable internet ambayo mtu unaweza ukafanya shughuli za mtandaoni kidogo.

Nilijaribu kuhotspot kwa simu, Gb zikawa zinakatika mpaka nashangaa kama mtu anabugia. Na eneo nililopp hapa hamna fibers bado.

Nilijaribu Grano Coffee and Istanbul Restaurant kwakweli internet zao zilikuwa weak.
Karibu dukani kwangu makumbusho hapa nina internet ya uhakika.
 
Back
Top Bottom