N Nsimbi JF-Expert Member Sep 27, 2014 1,091 1,202 Feb 24, 2019 #1 Ndugu zangu wapi katika jiji la Mbeya naweza kupata shamba au kiwanja. Nina mil. 3. Nataka kulima na kujenga na pia kufuga. Viwanja vya bei poa.
Ndugu zangu wapi katika jiji la Mbeya naweza kupata shamba au kiwanja. Nina mil. 3. Nataka kulima na kujenga na pia kufuga. Viwanja vya bei poa.
sir. Mwasongwe Senior Member May 30, 2015 105 73 Feb 25, 2019 #2 Yaan kwa ml 3 upate Shamba la kulima na kujenga? Sent using Jamii Forums mobile app
monopoly inc JF-Expert Member Dec 20, 2016 5,265 11,304 Feb 25, 2019 #3 sir. Mwasongwe said: Yaan kwa ml 3 upate Shamba la kulima na kujenga? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Labda atapata Inyala
sir. Mwasongwe said: Yaan kwa ml 3 upate Shamba la kulima na kujenga? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Labda atapata Inyala
Joselela JF-Expert Member Jan 24, 2017 5,676 6,961 Feb 25, 2019 #4 monopoly inc said: Labda atapata Inyala Click to expand... Inyala? Sehemu kubwa ni eneo la hifadhi wamekataza kulima huko... Ila kwa pesa yake anaweza pata sehemu tofauti na hiyo! Sent using Jamii Forums mobile app
monopoly inc said: Labda atapata Inyala Click to expand... Inyala? Sehemu kubwa ni eneo la hifadhi wamekataza kulima huko... Ila kwa pesa yake anaweza pata sehemu tofauti na hiyo! Sent using Jamii Forums mobile app